Module Workbook

Module 20: Kiswahili

Uandishi wa kawaida, kitaaluma, na kisanii.

Use this workbook to practice core KCSE communication skills and record evidence of progress.

Module navigation

Move module to module

Use the navigation buttons to move through the workbook in sequence.

SECTION: KISWAHILI

MODULE: 20

Part A: Units

Kuandika

a. Uandishi wa kawaida: majibu ya ufahamu, muhtasari, tahakiki za kazi za kisaini

b. Utungaji wa kiuamilifu: barua, hotuba, ratiba, tahadhari, matangazo, maagizo/maelekezo, tawasifu, wasifu, resipe, kumbukumbu, ripoti, mahojiano na dayolojia, kujaza fomu na hojaji, insha za kitaaluma

c. Uandishi wa insha: maelezo, mazungumzo, mawazo, masimulizi, methali

d. Utungaji wa kisanii: mashairi, mikusanyiko ya kazi za kisanii

Part B: Project

Unda jalada la uandishi wa aina mbalimbali.

Project Title: Jalada la Uandishi

Objective: Kuonyesha uandishi wa kawaida, kiuamilifu, na kisanii.

Project Instructions:

  1. 1. Andika muhtasari au majibu ya ufahamu.
  2. 2. Andika barua au hotuba ya kiuamilifu.
  3. 3. Andika insha ya aina moja kati ya maelezo au masimulizi.
  4. 4. Tunga kazi fupi ya kisanii (shairi au hadithi fupi).
  5. 5. Wasiliana na kocha wako inapobidi.

Evidence to Submit:

  • • Muhtasari au majibu ya ufahamu.
  • • Barua/hotuba ya kiuamilifu.
  • • Insha na kazi ya kisanii.

Submission

Accepted: PDF, JPG, PNG, DOC, DOCX (max 8MB).

Part C: Training Others

Mwongoze mwanafunzi mwingine katika uandishi wa aina tofauti.

Guidance:

  • • Eleza tofauti za uandishi wa kawaida na kiuamilifu.
  • • Onyesha muundo wa insha na taarifa.
  • • Jadili uandishi wa kisanii na ubunifu.

Reflection:

  • • Mwanafunzi alielewa nini vizuri?
  • • Ni sehemu gani ilihitaji ufafanuzi zaidi?
  • • Unahitaji msaada gani kutoka kwa kocha?

Submission

Accepted: PDF, JPG, PNG, DOC, DOCX (max 8MB).

Part D: Assessment

Competency Levels:

1 = Expectations not met

2 = Partially met

3 = Satisfactorily met

4 = Excellently met

Coach assessment: Learner completes the self-assessment using the 1-4 scale. The coach prepares a short quiz or conversation (outside the system if needed) and assigns the coach score.

Self-assessment:

  • • Uandishi wa kawaida:
  • • Utungaji wa kiuamilifu:
  • • Uandishi wa insha na kisanii:

Coach assessment:

  • • Uandishi wa kawaida:
  • • Utungaji wa kiuamilifu:
  • • Uandishi wa insha na kisanii:

Submission

Accepted: PDF, JPG, PNG, DOC, DOCX (max 8MB).

Ready for the next module?

Keep your learning rhythm steady and record your reflections as you progress.